• Maswali/
  • Mrejesho
  • English

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Katiba na Sheria

(MoCLA)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Wizara
    • Menejimenti
    • Majukumu Yetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Tehama
      • Idara ya Utawala na Rasilimali Watu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Idara ya Sera na Mipango
      • Idara ya Huduma ya Kisheria kwa Umma
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Divisheni ya Haki za Binadamu
      • Natural Wealth and Resources Observatory Unit
  • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio
    • Matangazo
  • Machapisho
    • Katiba
    • Tafiti
    • Miongozo
    • Taarifa Mbalimbali
    • Sera
    • Sheria Mbalimbali
      • Katiba na Haki za Binadamu
      • Sheria za Jinai
      • Sheria za Madai
      • Sheria za Ardhi
      • Sheria za Mazingira
      • Sheria za Mirathi
      • Sheria za Utawala
      • Sheria za Biashara
      • Sheria za Rasilimali za Nchi na Madini
      • Sheria za Masaidiano na Mataifa Mengine
      • Sheria za Kimataifa
      • Sheria za Mabaraza na Usuluhishi
      • Sheria za Marekebisho ya Sheria Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Ununuzi
    • Taarifa ya Matarajio ya Ununuzi
    • Machapisho ya Tuzo za Zabuni
    • Mpango wa Mwaka wa Unununzi
    • Tangazo la Zabuni
  • Huduma za Tehama
    • MoCLA MIS
    • Mfumo wa Usimamizi wa Sheria
    • Kanzi Data ya Malalamiko
    • Kanzi Data ya Wanasheria Serikalini
    • Msaada wa Kisheria
  • Msaada wa Kisheria
  • Malalamiko
  • Blog

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAANZA ZOEZI LA KUTAFSIRI SHERIA ZOTE NCHINI KUWA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

Imewekwa: Friday 05, March 2021

WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAANZA ZOEZI LA KUTAFSIRI SHERIA ZOTE NCHINI KUWA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

Kikao kazi cha wataalamu wa sheria kutoka taasisi mbalimbali wakiongozwa na Wanasheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria chaanza kazi ya kutafsiri sheria zote nchini.

Kikao kazi hicho cha awamu ya kwanza cha siku 8 kilichoanza kazi Machi 3 kinatarajiwa kukamilisha kazi yake Machi 11 kwa kutafsiri sheria 16.

Huu ni utekelezaji wa agizo lilitolewa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba kwa Katibu Mkuu wa wizara hiyo Prof. Sifuni Mchome Disemba 22, 2020 alipotembelea Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo Tanzania. Katika ziara hiyo waziri Dkt. Nchemba alisema sheria ni sekta inayomsaidia mtu kupata haki hivyo inapaswa lugha ya Kiswahili itumike kwanza katika masuala mbalimbali ya kisheria kisha lugha nyingine ziwe ni za nyongeza, hivyo sheria, mwenendo wa mashauri na hukumu iandikwe kwa lugha ya Kiswahili ili kuwezesha wananchi kuelewa kwa urahisi kuhusu kesi zao,

Zoezi hili la kutafsiri sheria linategemewa kufanyika kwa awamu tatu kabla ya kuhakikiwa kwa tafsiri hiyo kuangalia kama kilichotafsiriwa ni sahihi na hakijapoteza maana ya kile kilichokusudiwa katika utungwaji wa sheria husika.

Zoezi la kutafsiri sheria linatarajiwa kukamilika mwezi Disemba, 2021 ambapo sheria zote nchini zinatarajiwa kuwa zimetafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili.

Matangazo

  • Fomu za Usajili Mikataba ya Utajiri na Maliasilia za Nchi

    Fomu ya maombi ya kujiandikisha kama mtoa huduma ya kisheria

    Taarifa kwa Umma kuhusu Usajili wa Watoa Huduma za Msaada wa Kisheria

    Matangazo Zaidi

Habari Mpya

  • WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAANZA ZOEZI LA KUTAFSIRI SHERIA ZOTE NCHINI KUWA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

    WIZARA YA KATIBA NA SHERIA YAANZA ZOEZI LA KUTAFSIRI SHERIA ZOTE NCHINI KUWA KATIKA LUGHA YA KISWAHILI

    Mar 05, 2021
  • ​DED KILINDI AWATAKA WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI KUTENDA HAKI

    ​DED KILINDI AWATAKA WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI KUTENDA HAKI

    Nov 17, 2020
  • MKUU WA MKOA WA TANGA ATAKA TAASISI ZA UTOAJI HAKI ZIBORESHWE ILI ZIWEZE KUTOA HAKI KWA WAKATI

    MKUU WA MKOA WA TANGA ATAKA TAASISI ZA UTOAJI HAKI ZIBORESHWE ILI ZIWEZE KUTOA HAKI KWA WAKATI

    Nov 16, 2020
  • ​WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI ACHENI KUPOKEA RUSHWA – MHE. NGUVIRA

    ​WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI ACHENI KUPOKEA RUSHWA – MHE. NGUVIRA

    Nov 15, 2020
  • Soma Habari zaidi
  • Video
  • Albamu
  • 5 Pics
  • 2 Pics

Wasiliana Nasi

Wizara ya Katiba na Sheria

Mji wa Serikali,Mtumba

S.L.P. 315,

DODOMA.

Masijala: barua@sheria.go.tz

Simu: +255 26 2310021

Nukushi: 255 26 2321679
Barua pepe: km@sheria.go.tz

  • Sera Ya Faragha
  • Angalizo
  • Ramani Ya Tovuti
  • Maswali
  • Barua Pepe

© 2021 Wizara ya Katiba na Sheria. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Wizara ya Katiba na Sheria