• Maswali/
  • Mrejesho
  • English

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Katiba na Sheria

(MoCLA)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Wizara
    • Menejimenti
    • Majukumu Yetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Tehama
      • Idara ya Utawala na Rasilimali Watu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Idara ya Sera na Mipango
      • Idara ya Huduma ya Kisheria kwa Umma
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Divisheni ya Haki za Binadamu
      • Natural Wealth and Resources Observatory Unit
  • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio
    • Matangazo
  • Machapisho
    • Katiba
    • Fomu Mbalimbali
    • Tafiti
    • Miongozo
    • Taarifa Mbalimbali
    • Sera
    • Sheria Mbalimbali
      • Katiba na Haki za Binadamu
      • Sheria za Jinai
      • Sheria za Madai
      • Sheria za Ardhi
      • Sheria za Mazingira
      • Sheria za Mirathi
      • Sheria za Utawala
      • Sheria za Biashara
      • Sheria za Rasilimali za Nchi na Madini
      • Sheria za Masaidiano na Mataifa Mengine
      • Sheria za Kimataifa
      • Sheria za Mabaraza na Usuluhishi
      • Sheria za Marekebisho ya Sheria Mbalimbali
  • Ununuzi
    • Taarifa ya Matarajio ya Ununuzi
    • Machapisho ya Tuzo za Zabuni
    • Mpango wa Mwaka wa Unununzi
    • Tangazo la Zabuni
  • Huduma Kupitia Mtandao
    • Mfumo wa Kuomba Kufungua Mashauri Nje ya Muda
    • Mfumo wa Kupokea Malalamiko
    • Usajili wa Watoa Huduma za Upatanishi, Majadiliano, Maridhiano na Usuluhishi
  • Huduma za Msaada wa Kisheria
    • Usajili wa Watoa Huduma za Msaada wa Kisheria
    • Mfumo wa Kuomba Msaada wa Kisheria
  • Sheria Blog

DKT. NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA MAAFISA KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA

Imewekwa: Thursday 15, December 2022

DKT. NDUMBARO AFANYA MAZUNGUMZO NA MAAFISA KUTOKA UBALOZI WA UINGEREZA

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amekutana na kufanya mazungumzo na maafisa kutoka Ubalozi wa Uingereza nchini; Dkt. Zabdiel Kimambo -Mshauri wa Utawala, Bw. Laurence Wilkes, Mshauri wa Masuala ya Utawala na Siasa, na Bi. Allanna Inserra, Mshauri wa Masuala ya Siasa tarehe 14 Desemba, 2022 katika Ofisi ndogo za Wizara zilizopo jijini Dar es Salaam.

Katika kikao hicho wamejadili masuala mbalimbali yahusuyo ushirikiano baina ya Serikali na Asasi za Kiraia na utekelezaji wa miradi ambayo inafadhiliwa na Uingereza kupitia Asasi mbalimbali hapa nchini.

Dkt. Ndumbaro ameeleza kuwa Serikali imeendelea kuwa na ushirikiano na uhusiano mzuri na Asasi za Kiraia hususan katika upatikanaji wa maoni katika sheria mbalimbali zinazohitaji kufanyiwa marekebisho.

Kikao hicho kimehudhuriwa na Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Casmir Kyuki na Mkurugenzi wa Huduma za Sheria kwa Umma Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Griffin Mwakapeje.

Kwa upande wake Bw. Wilkes, aliahidi kuwa Ubalozi wa Uingereza utaendeleza ushirikiano na Serikali na utakuwa tayari kuwezesha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya Serikali hususan katika masuala ya upatikanaji haki.

Matangazo

  • KUTOA MAONI KUHUSU UBORESHAJI WA MFUMO WA SHERIA NCHINI NA ELIMU YA UANASHERIA KWA VITENDO

    ... Oct 19, 2022

  • MAOMBI YA KUSAJILIWA KWENYE MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA WATU KWA MAWAKILI WANAOTOA HUDUMA ZA KI... Jun 01, 2022

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

    Matangazo Zaidi

Habari Mpya

  • ​ARDHI YA TANZANIA NI YA UMMA NA SIO YA MTU BINAFSI- DKT. NDUMBARO

    ​ARDHI YA TANZANIA NI YA UMMA NA SIO YA MTU BINAFSI- DKT. NDUMBARO

    Jan 30, 2023
  • ​NDUMBARO AZINDUA KITABU CHA MASUALA YA AJIRA NA SHERIA ZA KAZI

    ​NDUMBARO AZINDUA KITABU CHA MASUALA YA AJIRA NA SHERIA ZA KAZI

    Jan 26, 2023
  • KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA KUFANYIKA NCHI NZIMA: DKT. KAZUNGU

    KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA KUFANYIKA NCHI NZIMA: DKT. KAZUNGU

    Jan 25, 2023
  • ​MAONESHO YA WIKI YA SHERIA: WATATUZI WA MIGOGORO KWA NJIA MBADALA WAANZA KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI.

    ​MAONESHO YA WIKI YA SHERIA: WATATUZI WA MIGOGORO KWA NJIA MBADALA WAANZA KUSAJILIWA KIELEKTRONIKI.

    Jan 23, 2023
  • Soma Habari zaidi
Tanzania Census 2022
  • Video
  • Albamu
  • 5 Pics
  • 2 Pics

Wasiliana Nasi

Wizara ya Katiba na Sheria

Mji wa Serikali,Mtumba

S.L.P. 315,

DODOMA.

Masijala: barua@sheria.go.tz

Simu: +255 26 2310021

Nukushi: 255 26 2321679
Barua pepe: km@sheria.go.tz

  • Sera Ya Faragha
  • Angalizo
  • Ramani Ya Tovuti
  • Maswali
  • Barua Pepe

© 2023 Wizara ya Katiba na Sheria. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Wizara ya Katiba na Sheria