Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, akifungua kikao kazi cha kuandaa rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano wa Wizara, Katika Ukumbi wa mikutano Flomi Hotel, 17 Oktoba 2025
Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na timu ya wataalam wanaoandaa rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano, mjini Morogoro 17 Oktoba 2025
Watumishi wa Idara ya Haki za Binadamu kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wamefanya ziara ya mafunzo katika Mahakama ya Kimataifa ya Kesi za Masalia ya Mauaji ya Kimbari (UN-IRMCT) iliyopo jijini Arusha kwa lengo la kujifunza namna Mahakama hiyo inavyofanya kazi, 15 Oktoba, 2025
Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Tarangire kwa lengo la kujionea vivutio mbalimbali vinavyopatikana katika hifadhi hiyo ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za serikali kukuza utalii wa ndani, 11 Oktoba, 2025