Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damasi Ndumbaro akionyesha tuzo ya Wizara hiyo ya Mshindi wa Kwanza upande wa Wizara zilizo shiriki katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025), mkono wa kulia ameshika zawadi ya kikombe aliyopatiwa na Wizara.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damasi Ndumbaro akitoa huduma ya Msaada wa Kisheria leo Julai 11, 2025 katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Katiba na Sheria Hyasinta Kissima akionyesha tuzo ya Mshindi wa kwanza ya Wizara ya Katiba na Sheria katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupokea tuzo ya Mshindi wa kwanza upande wa Wizara ambapo Wizara ya Katiba na Sheria imeshika nafasi ya Kwanza katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupokea tuzo ya Mshindi wa kwanza upande wa Wizara ambapo Wizara ya Katiba na Sheria imeshika nafasi ya Kwanza katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt Franklin Jasson Rwezimula akimkabidhi tuzo ya Mshindi wa kwanza upande wa Wizara Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Kutoa Taarifa za Haki za Binadamu Bi. Beatrice Mpembo ambapo Wizara ya Katiba na Sheria imeshika nafasi ya Kwanza katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt Franklin Jasson Rwezimula akionyesha tuzo ya Mshindi wa kwanza upande wa Wizara ambapo Wizara ya Katiba na Sheria imeshika nafasi ya Kwanza katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Eliakim Maswi akisalimiana na mwananchi aliyefika kupata huduma katika banda la Wizara hiyo katika maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Raia wa Kigeni wakipata maelezo katika idara ya Haki za Binadamu katika Banda la Wizara ya Katiba na Sheria wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt Franklin Rwezimula (mwenye miwani aliyeinama) akimsikiliza mwananchi wakati wa maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba 2025).