Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

Dira, Dhima na Kauli Mbiu

Dira

Kuwa na taifa linalozingatia haki, jumuishi na lenye ustahimilivu ambapo usawa, uadilifu na utawala wa sheria vinatawala kwa wote.

Dhima

Kuweka mifumo madhubuti ya Kikatiba na kisheria, kuendeleza upatikanaji wa haki, kulinda haki za binadamu, na kuhakikisha usimamizi endelevu wa rasilimali asilia kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya Tanzania.

Kauli Mbiu

Haki, usawa na Utawala wa Sheria kwa Wote