Mkurugenzi Kitengo cha Utajiri Asili na Maliasilia za Nchi, Wizara ya Katiba na Sheria, DCP Neema Mwanga, akitoa zawadi ya kalenda kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Nickson Maleko (kulia) akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Daniel Mbaki (kulia) akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Everett Stephen (wa pili kulia) akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba, akijibu maswali ya Wabunge wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha Nne cha Mkutano wa Nne wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 4 Septemba, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera, akifungua rasmi mafunzo elekezi kwa Makamishina wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.
Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Mhe. Winifrida Beatrice Korosso, akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa Makamishina wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (katikati) katika picha ya pamoja na viongozi na watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, baada ya kufungua rasmi mafunzo elekezi kwa makamishna wa Tume hiyo, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi (katikati) katika picha ya pamoja na viongozi wa Taasisi ya Culture and Development East Africa, Bi. Ayeta Wangusa (kulia) na Ndugu Madaraka Nyerere (kushoto) baada ya mazungumzo yaliyolenga kuimarisha ushirikiano baina ya wizara na taasisi hiyo, 1 Septemba, 2026, Dodoma.
Naibu Waziri, Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba, akijibu maswali ya Wabunge katika kikao cha Nne cha Mkutano wa Nne wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 31 Agosti, 2026, Bungeni jijini Dodoma.