Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Balozi Baraka Luvanda (wa pili kulia) akiongoza kikao cha ujumbe kutoka Serikali ya Japan kujadili maeneo ya ushirikiano katika sekta ya sheria kati ya Tanzania na Japan.Ujumbe wa Serikali ya Japan ulioongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Pili ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan, Bw. Hironori Suzuki (hayupo pichani), akifuatana na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yoichi Mikami kikao kilichofanyika Mtumba jijini Dodoma, 15 Septemba, 2026.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Balozi Baraka Luvanda akiongoza kikao cha ujumbe kutoka Serikali ya Japan kujadili maeneo ya ushirikiano katika sekta ya sheria kati ya Tanzania na Japan.Ujumbe wa Serikali ya Japan ulioongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Pili ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan, Bw. Hironori Suzuki (hayupo pichani), akifuatana na Balozi wa Japan nchini Tanzania, Mhe. Yoichi Mikami kikao kilichofanyika Mtumba jijini Dodoma, 15 Septemba, 2026.
Mkurugenzi wa Utatuzi wa Migogoro kwa Njia Mbadala kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Felix Chakila, akizungumza jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe wa Serikali ya Japan ulioongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Pili ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan, Bw. Hironori Suzuki (hayupo pichani), Mtumba jijini Dodoma, 15 Septemba, 2026.
Una Changamoto ya kisheria? malalamiko, maoni ama ushauri? Tupigie Jumatatu hadi Ijumaa saa 1:30 Asubuhi hadi saa 11:00 jioni.
Mkurugenzi Kitengo cha Utajiri Asili na Maliasilia za Nchi, Wizara ya Katiba na Sheria, DCP Neema Mwanga, akitoa zawadi ya kalenda kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Nickson Maleko (kulia) akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Daniel Mbaki (kulia) akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Wakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Everett Stephen (wa pili kulia) akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la wizara wakati wa Kongamano la 5 la Kimataifa la Uchumi wa Buluu (BEC 2026), katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, 7 Septemba, 2026.
Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba, akijibu maswali ya Wabunge wakati wa kipindi cha maswali na majibu katika kikao cha Nne cha Mkutano wa Nne wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 4 Septemba, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera, akifungua rasmi mafunzo elekezi kwa Makamishina wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.