Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera, akifungua rasmi mafunzo elekezi kwa Makamishina wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.
Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Mhe. Winifrida Beatrice Korosso, akizungumza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa Makamishina wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (katikati) katika picha ya pamoja na viongozi na watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, baada ya kufungua rasmi mafunzo elekezi kwa makamishna wa Tume hiyo, 1 Septemba, 2026, jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi (katikati) katika picha ya pamoja na viongozi wa Taasisi ya Culture and Development East Africa, Bi. Ayeta Wangusa (kulia) na Ndugu Madaraka Nyerere (kushoto) baada ya mazungumzo yaliyolenga kuimarisha ushirikiano baina ya wizara na taasisi hiyo, 1 Septemba, 2026, Dodoma.
Naibu Waziri, Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba, akijibu maswali ya Wabunge katika kikao cha Nne cha Mkutano wa Nne wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 31 Agosti, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Balozi. Baraka Luvanda, akiongoza kikao cha kujadili namna ya kuimarisha ushiriki wa nchi katika majukwaa ya kikanda na kimataifa ya haki za binadamu, 27 Agosti, 2026, Mtumba, Dodoma.
Ujumbe wa Wizara ya Katiba na Sheria ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Balozi. Baraka Luvanda, pamoja na ujumbe kutoka Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Ndg. Mzee Ali Haji katika kikao kilichojadili namna ya kuimarisha ushiriki nchi katika majukwaa ya kikanda na kimataifa ya haki za binadamu, 27 Agosti, 2026, Mtumba, Dodoma.
Una Changamoto ya kisheria? malalamiko, maoni ama ushauri? Tupigie Jumatatu hadi Ijumaa saa 1:30 Asubuhi hadi saa 11:00 jioni.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, akifungua rasmi maonesho ya Simulizi za Manusura wa Ukatili wa Kijinsia na Kingono, 26 Agosti, 2026, Mtumba jijini Dodoma.
Mshauri wa masuala ya Kisheria kutoka Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), Bw. Tareq Bashour, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho ya Simulizi za Manusura wa Ukatili wa Kijinsia na Kingono, 26 Agosti, 2026, Mtumba, jijini Dodoma.