Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Balozi. Baraka Luvanda, akiongoza kikao cha kujadili namna ya kuimarisha ushiriki wa nchi katika majukwaa ya kikanda na kimataifa ya haki za binadamu, 27 Agosti, 2026, Mtumba, Dodoma.
Ujumbe wa Wizara ya Katiba na Sheria ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Balozi. Baraka Luvanda, pamoja na ujumbe kutoka Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, ukiongozwa na Naibu Katibu Mkuu, Ndg. Mzee Ali Haji katika kikao kilichojadili namna ya kuimarisha ushiriki nchi katika majukwaa ya kikanda na kimataifa ya haki za binadamu, 27 Agosti, 2026, Mtumba, Dodoma.
Una Changamoto ya kisheria? malalamiko, maoni ama ushauri? Tupigie Jumatatu hadi Ijumaa saa 1:30 Asubuhi hadi saa 11:00 jioni.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, akifungua rasmi maonesho ya Simulizi za Manusura wa Ukatili wa Kijinsia na Kingono, 26 Agosti, 2026, Mtumba jijini Dodoma.
Mshauri wa masuala ya Kisheria kutoka Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), Bw. Tareq Bashour, akizungumza wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho ya Simulizi za Manusura wa Ukatili wa Kijinsia na Kingono, 26 Agosti, 2026, Mtumba, jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (kulia) akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Balozi. Baraka Luvanda wakati wa hafla ya ufunguzi rasmi wa maonesho ya simulizi za Manusura wa Ukatili wa Kijinsia na Kingono, 26 Agosti, 2026, Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (katikati) katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), Women Action Toward Economic Development (WATED) na Menejimenti ya wizara baada ya uzinduzi rasmi wa maonesho ya shuhuda za manusura wa ukatili wa kijinsia, Mtumba, jijini Dodoma, 26 Agosti, 2026.