Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Athuman Katimba, akifunga rasmi Kikao kazi cha Mawakili wa Serikali kilichofanyika Mtumba, jijini Dodoma, 29 Aprili, 2026.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, akifungua rasmi kikao kazi cha Mawakili wa Serikali kilichofanyika Mtumba, jijini Dodoma, 29 Aprili, 2026.
Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Chacha Maswi, akizungumza na Mawakili wa Serikali wakati wa kikao kazi cha Mawakili hao kilichofanyika Mtumba, jijini Dodoma, 29 Aprili, 2026.
Rais wa Chama cha Mawakili wa Serikali (PBA), Wakili Bavoo Junus akizungumza wakati wa kikao kazi cha Mawakili wa serikali kilichofanyika Mtumba, jijini Dodoma, 29 Aprili, 2026.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, akizungumza jambo wakati wa Kikao kazi cha Mawakili wa Serikali kilichofanyika Mtumba, Jijini Dodoma, 29 Aprili, 2026.
Baadhi ya Mawakili wa Serikali, waliohudhuria Kikao Kazi cha Mawakili wa Serikali kilichofanyika katika ukumbi wa Jiji, Mtumba Jijini Dodoma, 29 Aprili, 2026.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera akifungua rasmi Kikao cha Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kilichofanyika jijini Arusha, 28 Aprili, 2026.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera (kulia) akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Saidi Johari (kushoto) wakati wa Kikao cha Wafanyakazi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kilichofanyika jijini Arusha, 28 Aprili, 2026.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Dkt. Franklin Jasson Rwezimula, akifungua rasmi mafunzo ya kimkakati ya upekuzi wa mikataba kwa Mawakili na Maafisa Ugavi wa Wizara katika ukumbi wa Saanan Hotel jijini Dodoma, tarehe 28 Aprili, 2026.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Eliakim Maswi (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kamati Kuu ya Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) mara baada ya kumalizika kwa kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano kati ya Wizara na Chama hicho kwa lengo kufikisha huduma za kisheria kwa wananchi, Mtumba jijini Dodoma, 28 Aprili, 2026.