Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), CP. Ramadhani Kingai, (kushoto) akipata maelezo ya namna Wizara ya Katiba na Sheria inavyotoa huduma za kisheria kupitia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam, kutoka kwa Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Usuluhishi kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Felix Chakila, 4 Julai, 2026.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James (kushoto) akipata maelezo ya namna Wizara ya Katiba na Sheria inavyotoa huduma za kisheria kupitia Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam, kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa wizara, Bi. Hyasinta Kissima, 4 Julai, 2026.
Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria, wakipata huduma kutoka kwa wataalam wa wizara, ikiwa ni sehemu ya ushiriki wa wizara katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam, 4 Julai, 2026.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (wa kwanza kulia) akitoa huduma kwa mwananchi aliyetembelea banda la wizara wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam, 3 Julai, 2026, wa pili kushoto ni Katibu Mkuu, Dkt. Seif Shekalaghe.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Homera (wa kwanza kulia) pamoja na Katibu Mkuu, Dkt. Seif Shekalaghe (wa pili kulia) wakipata maelezo kutoka kwa Wakili wa Serikali, Bw. Herman Mpogole walipotembelea banda la wizara wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam, 3 Julai, 2026.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba (wa pili kulia) akitoa huduma kwa wananchi waliofika kupata huduma katika banda la wizara, wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam, 1 Julai, 2026.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba (katikati), katika picha ya pamoja na baadhi ya wakurugenzi na watumishi wa wizara, baada ya kutembelea banda la wizara na kutoa huduma kwa wananchi waliofika kupata huduma, wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam, 1 Julai, 2026.
Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria, wakipata huduma kutoka kwa wataalam wa wizara, ikiwa ni sehemu ya ushiriki wa wizara katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam, 30 Juni, 2026.
Baadhi ya wananchi waliotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria, wakipata huduma kutoka kwa wataalam wa wizara, ikiwa ni sehemu ya ushiriki wa wizara katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika viwanja Sabasaba jijini Dar es Salaam, 30 Juni, 2026.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Katimba, amefika katika Ofisi za Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TANTRADE) zilizopo katika viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE, Dkt. Latifa Khamis, na baadaye kutembelea baadhi ya mabanda ya taasisi zinazoshiriki Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara, 29 Juni, 2026.