Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Zainab Athuman Katimba (Mb.), akifungua rasmi mafunzo ya awali kwa waajiriwa wapya 162 wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka yanayofanyika jijini Arusha tarehe 15 Aprili 2026.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera (wa Pili kulia) akikata utepe kuashiria kukabidhi magari 5 kwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Bw. Patience Ntwina (Kulia kwake) wakati wa hafla ya kukabidhi magari na vitendea kazi kwa Mahakama ya Tanzania,15 Aprili, 2026 Mtumba Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Homera (kushoto) akikabidhi Kompyuta Mpakato kwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Bi. Eva Nkya wakati wa hafla ya kukabidhi Magari na Vitendea kazi kwa Mahakama ya Tanzania na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora 15 Aprili, 2026, Mtumba Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Homera (kushoto) akikabidhi vitendea kazi (Kompyuta Mpakato) kwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bw. Patience Ntwina wakati wa hafla ya kukabidhi Vitendea kazi kwa Mahakama ya Tanzania na Tume hiyo 15 Aprili, 2026, Mtumba Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, akisikiliza na kuwahudumia wananchi waliopiga simu katika Kituo cha Huduma kwa Mteja cha Wizara, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa programu ya ''Sema na Waziri'' tarehe 15 Machi, 2026, Mtumba jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Zuberi Homera (kulia) akiwa katika mahojiano kuhusiana na programu ya ''Sema na Waziri'' kupitia kipindi cha Clouds 360, mahojiano mubashara yamefanyika katika Kituo cha Huduma kwa Mteja cha Wizara, Mtumba jijini Dodoma, tarehe 15 Machi, 2026.
Mkurugenzi wa Katiba na Ufuatiliaji Haki kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Jane Lyimo, akifungua rasmi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Uchunguzi na Upelelezi tarehe 13 Aprili, 2026, jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Katiba na Ufuatiliaji Haki kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Bi. Jane Lyimo (katikati) katika picha ya pamoja na wawezeshaji na baadhi ya maafisa Uchunguzi na Upelelezi baada ya ufunguzi rasmi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa Uchunguzi na Upelelezi tarehe 13 Aprili, 2026, jijini Dodoma.
Baadhi ya Maafisa Uchunguzi na Upelelezi wakiwa katika mafunzo ya kuwajengea uelewa kwa lengo la kuimarisha mnyororo wa haki jinai nchini. Mafunzo yanafanyika kwa siku nne tarehe 13-16 Aprili 2026, jijini Dodoma.
Picha ya pamoja ya watumishi kutoka Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi za Kisekta wakati wa mafunzo ya kuimarisha uelewa katika usimamizi na ulinzi wa rasilimali za Taifa, mafunzo yanafanyika Mjini Morogoro kuanzia tarehe 30 Machi hadi 2 Aprili, 2026.