Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Mhe. Edwin Enosy Swalle (Mb) akijadili jambo wakati wa kikao cha uwasilishaji wa Randama ya Mpango na Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2026/2027, 28 Machi, Bungeni, jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera (kulia) na Naibu Waziri Mhe. Zainab Athuman Katimba (kushoto) wakifuatilia jambo wakati wa kikao cha uwasilishaji wa Randama ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uawala, Katiba na Sheria (hawapo pichani), 28 Machi, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria Ndg. Eliakim Chacha Maswi, akichangia jambo wakati wa kikao cha uwasilishaji wa Randama ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uawala, Katiba na Sheria (hawapo pichani), 28 Machi, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Baadhi ya Viongozi wa Wizara ya Katiba na Sheria na Taasisi zilizo chini ya Wizara, wakiongozwa na Waziri Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera, wakifuatilia kwa makini kikao cha uwasilishaji wa Randama ya Mpango na Bajeti ya Wizara 2026/2027 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uawala, Katiba na Sheria, 28 Machi, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Baadhi ya Viongozi wa Taasisi za Wizara ya Katiba na Sheria, wamehudhuria kikao cha uwasilishaji wa Randama ya Mpango na Bajeti ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, 28 Machi, 2026, Bungeni jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera (Mb), akifungua rasmi Kikao cha Nne cha Baraza la Nane la wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, jijini Dodoma, 23 Machi, 2026.
Katibu Mkuu, Wizara ya Katiba na Sheria, Ndg. Eliakim Maswi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi la Wizara ya Katiba na Sheria, akizungumza jambo, wakati wa Kikao cha Nne cha Baraza la Nane la wafanyakazi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, jijini Dodoma, 23 Machi, 2026.
Baadhi ya Viongozi na watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakiimba wimbo wa mshikamano wakati wa Kikao cha Nne cha Baraza la Nane la wafanyakazi, kilichofanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, jijini Dodoma, 23 Machi, 2026.
Baadhi ya viongozi na watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria wakishiriki Kikao cha Nne cha Baraza la Nane la wafanyakazi, kilichofanyika katika Ukumbi wa TAKWIMU jijini Dodoma, 23 Machi, 2026.
Mawakili wa Serikali kutoka Wizara ya Katiba Sheria wakiwasikiliza wananchi waliofika kupata huduma za Msaada wa Kisheria wakati wa ziara ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Katavi, 17 Machi, 2026