Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akihutubia wakati akifungua Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, tarehe 06 Desemba, 2023 Jijini Dodoma.
Washiriki siku ya kufungua Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, wakimkaribisha ukumbini Mgeni Rasmi Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana tarehe 06 Desemba, 2023 Jijini Dodoma.
Meza Kuu kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Wawakilishi wa Wizara na Taasisi kwenye hafla ya kufungua Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, tarehe 06 Desemba, 2023 Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi walioshiriki hafla ya kufungua Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, tarehe 06 Desemba, 2023 Jijini Dodoma.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akipata maelezo kutoka kwa Amidi wa Shule ya Sheria Dkt. Ines Kajiru kuhusu Kliniki ya Sheria Chuo Kikuu cha Dodoma, tarehe 06 Desemba, 2023
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana alipotembelea Dawati la Jinsia Chuo Kikuu cha Dodoma, kabla ya kufungua siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, tarehe 06 Desemba, 2023.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana aliposhiriki kufungua Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia, tarehe 06 Desemba, 2023 Jijini Dodoma.
Kamishna wa Tume ya Maadili Jaji (Mst) Sivangilwa Sikalaliwa Mwangesi alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria kwenye Maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu yanayoendelea katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma. Madhimisho hayo yamenza tarehe 01 na yatahitimishwa tarehe 10 Desemba 2023.
Afisa kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Ndugu Laurent Burilo akitoa Msaada Kisheria kwa mwananchi aliyefika katika Maadhimisho ya siku ya Maadili na Haki za Binadamu yanayoendelea katika Viwanja vya Nyerere Square Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Makondo akihutubia kwenye Jukwaa la Kitaifa la Wadau wa juhudi dhidi ya rushwa, tarehe 04 Desemba, 2023 Jijini Dodoma.