Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Juma Zuberi Homera, akichangia jambo wakati wa uwasilishwaji wa Muswada wa mabadiliko ya Sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya Tafsiri ya sheria mbalimbali sura (1) ya mwaka 2026 uliowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johari (hayupo pichani) kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Bungeni, jijini Dodoma, 3 Machi, 2026
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johari, akiwasilisha Muswada wa mabadiliko ya Sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya Tafsiri ya sheria mbalimbali sura (1) ya mwaka 2026 kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria Bungeni, jijini Dodoma, 3 Machi, 2026.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro imepokea na kujadili Muswada wa mabadiliko ya Sheria mbalimbali ikiwemo sheria ya Tafsiri ya sheria mbalimbali sura (1) zilizowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johari Bungeni, jijini Dodoma, Machi, 2026