Menejimenti
Menejimenti
| Na. | JINA | CHEO |
| 1 | Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera (Mb.) | Waziri |
| 2 | Mhe. Zainab Athuman Katimba (Mb.) | Naibu Waziri |
| 3 | Bw. Eliakim Chacha Maswi | Katibu Mkuu |
| 4 | Dkt. Franklin Jasson Rwezimula | Naibu Katibu Mkuu |
| 5 | Bw. Alfred O. Dede | Mkurugenzi Utawala na na Usimamiizi wa Rasilimaliwatu |
| 6 | Bw. Mbaraka R. Stambuli | Mkurugenzi wa Sera na Mipango |
| 7 | DCP Neema M. Mwanga | Mkurugenzi Kitengo cha Utajiri asili na Maliasilia za Nchi |
| 8 | Bw. Henry Simanamagu | Mkurugenzi Kitengo cha Ununuzi na Ugavi |
| 9 | Bi. Nkasori M. Sarakikya | Mkurugenzi Idara ya Haki za Binadamu |
| 10 | Bi. Angela Anatory | Mkurugenzi Huduma za Kisheria kwa Umma |
| 11 | Bi. Jane Lyimo | Mkurugenzi Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki |
| 12 | CPA Meshack N. Mwakyambiki | Mhasibu Mkuu |
| 13 | Bi. Twiningile R. Mwakalukwa | Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani |
| 14 | Bi. Hyasinta Kissima | Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Serikalini |
| 15 | Bw. Gabriel O. Ally | Kaimu Mkurugenzi wa TEHAMA |
| 16 | Bw. Felix G. Chakila | Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Usuluhishi |
| 17 | Bw. Abdulrahman M. Msham | Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Kisheria kwa Umma |
| 18 | Bi. Ester Msambazi | Mkuu wa Kitengo cha Msaada wa Sheria |
| 19 | Bw. Burton A. Mwasomola | Mkurugenzi Msaidizi Sehemu ya Katiba |
| 20 | Bi. Fatuma Kalovya | Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Utawala |
| 21 | Bw. Emmanuel H. Mayeji | Mkurugenzi Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini |
| 22 | Bi. Maria A. Kwambaza | Mkurugenzi Msaidizi - Mipango na Bajeti |
| 23 | Bw. Richard J. Kilanga | Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Utekelezaji na Ufuatiliaji Haki za Binadamu |
| 24 | Bi. Remida Lulambo | Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Rasilimaliwatu |
| 25 | Bi. Beatrice Mpembo | Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Kutoa Taarifa za Haki za Binadamu |
| 26 | Bw. Abel S. Sengasenga | Mkurugenzi Msaidizi - Sehemu ya Sera, Tafiti na Ubunifu |
| 27 | Bw. Lawrence Kabigi | Mkurugenzi Msaidizi, Sehemu ya Ufuatiliaji Haki |