Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

TAARIFA KWA UMMA

27 Nov, 2025

Wizaraya Katiba na Sheria inapenda kuwatangazia watu wenye nia ya kutoa Huduma za Usuluhishi, Maridhiano, Majadiliano na Upatanishi ambao wanakidhi vigezo kwa mujibu wa Kanuni; kuwasilisha maombi yao pamoja na kuambatisha nyaraka kwenye mfumo kupitia kiungo; https://legalaid.sheria.go.tz/. Kwa ufafanuzi zaidi
tafadhali wasiliana na Ofisi ya Msajili kupitia msajili.mmuu@sheria.go.tz au simu namba 0262160360.