Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

Kuwasilisha maombi ya kuongezewa muda wa kufungua mashauri nje ya muda

Imewekwa: 01 Feb, 2023

Tembelea https://smmis.sheria.go.tz/

Jisajiliili uweze kuwasilisha maombi yako kwa Wizara kwa kuchagua huduma ya Maombi ya Kuongezewa Muda wa Kufungua Mashauri nje ya Muda

Kwa msaada zaidi wasiliana nasi kupitia

Barua pepe:  supports@sheria.go.tz

Simu: 0714237904

TUMEKUFIKIA