Kusajiliwa kuwa mtoa huduma za Msaada wa Kisheria
Imewekwa: 01 Feb, 2023
Jisajili sasa kwa mujibu wa Sheria
Tembelea https://nalis.sheria.go.tz/sw
Kisha fuata maelekezo kujisajili kama mtoa huduma za msaada wa Kisheri (Legal Aid Provider, Parallegal)
Kwa Msaada zaidi wasiliana nasi kupitia
Barua pepe:support.nalis@sheria.go.tz
Simu: 0719 496 957