Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

Kusajiliwa kuwa mtoa huduma za Msaada wa Kisheria

Imewekwa: 01 Feb, 2023

Jisajili sasa kwa mujibu wa Sheria

Tembelea https://legalaid.sheria.go.tz/

Kisha fuata maelekezo kujisajili kama mtoa huduma za msaada wa Kisheri (Legal Aid Provider, Parallegal)

Kwa Msaada zaidi wasiliana nasi kupitia

Barua pepe:registrar@sheria.go.tz

Simu: 0714237904