TANGAZO KWA WATUMISHI
TANGAZO KWA WATUMISHI
01 Feb, 2023
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria anawahimiza watumishi wote kuwahi kazini na kufanya kazi kwa bidii ili kutimiza malengo ya Wizara. Pia anawakumbusha watumishi kufanya mazoezi kwa ajili ya afya zetu pamoja na kujiandaa na mashindano ya SHIMIWI.