Kusajiliwa kama mtoa huduma za masuala ya upatanishi, majadiliano, maridhiano na usuluhishi
Imewekwa: 01 Feb, 2023
Tembelea anwani ya https://nalis.sheria.go.tz/sw na kufuata maelekezo ili uweze kujisajili na kutoa huduma hizi kwa maujibu wa sheria.
Kwa msaada zaidi wasiliana nasi kupitia
Barua pepe: support.nalis@sheria.go.tz
Simu: 0719 496 957
TUMEKUFIKIA