Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

Kusajiliwa kama mtoa huduma za masuala ya upatanishi, majadiliano, maridhiano na usuluhishi

Imewekwa: 01 Feb, 2023

Tembelea anwani ya https://nalis.sheria.go.tz/sw na kufuata maelekezo ili uweze kujisajili na kutoa huduma hizi kwa maujibu wa sheria.

Kwa msaada zaidi wasiliana nasi kupitia

Barua pepe:  support.nalis@sheria.go.tz

Simu: 0719 496 957

TUMEKUFIKIA