Mwandishi Mkuu wa Sheria (CPD) Onorius Njole amamtembelea Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Pro. Palamagamba Kabudi na Kujadili mambo mbalimbali yanayohusu utekelezaji wa majukumu ya kisheria Mtumba Dodoma leo 22/10/2024.
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Sheria ndogo imekutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu sheria ndogo za shule ya sheria kwa vitendo (Law School) na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi katika kumbi za Bunge leo 22/10/2024.
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Sheria ndogo imekutana na kujadili mambo mbalimbali kuhusu sheria ndogo za shule ya sheria kwa vitendo (Law School) na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi katika kumbi za Bunge leo 22/10/2024.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi Mkazi wa UNDP nchini Tanzania Bwana Shigeki Komatsubara na kujadili maeneo ya ushirikiano hususani msaada wa kisheria katika Ofisi za Makao Makuu ya Wizara Mtumba Dodoma leo 22/10/2024
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Haki za Binadamu Bw. Richard Kilanga akizungumza katika kikao kazi kilichowakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kukamilisha taarifa ya Nchi ya kufuatilia utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa na Kikanda wa Haki za Binadamu na Watu pamoja na Mkataba wa Haki za Wanawake Barani Afrika (Itifaki ya Maputo) tarehe 22 Oktoba, 2024 mjini Morogoro.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Haki za Binadamu Bi. Beatrice Mpembo akizungumza katika kikao kazi kilichowakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kukamilisha taarifa ya Nchi ya kufuatilia utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa na Kikanda wa Haki za Binadamu na Watu pamoja na Mkataba wa Haki za Wanawake Barani Afrika (Itifaki ya Maputo) 22Oktoba, 2024 mjini Morogoro.
Baadhi ya Washiriki wakiwa katika kazi za vikundi wakipitia taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa na Kikanda wa Haki za Binadamu na Watu pamoja na Mkataba wa Haki za Wanawake barani Afrika (Itifaki ya Maputo) tarehe 22 Oktoba, 2024, mjini Morogoro
Baadhi ya Washiriki wakiwa katika kazi za vikundi wakipitia taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa na Kikanda wa Haki za Binadamu na Watu pamoja na Mkataba wa Haki za Wanawake barani Afrika (Itifaki ya Maputo) tarehe 22 Oktoba, 2024, mjini Morogoro
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (Mb) alipokuwa akifungua Mafunzo kuhusu Huduma za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa Makatibu Tawala, na Maofisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri za Mikoa ya Mara, Mwanza, Kagera, Geita, Simiyu na Shinyanga. Oktoba 21, 2024 Butiama.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (Mb) kwenye picha ya pamoja na baadhi ya washiriki kwenye Mafunzo kuhusu Huduma za Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) kwa Makatibu Tawala, na Maofisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri za Mikoa ya Mara, Mwanza, Kagera, Geita, Simiyu na Shinyanga. Oktoba 21, 2024 Butiama.