Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akihutubia katika uzinduzi wa Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri Chini ya Miaka Mitano Mkoani Kigoma, 03 Oktoba, 2023.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi. Dkt. Pindi Chana akitoa vyeti vya kuzaliwa kwa baadhi ya watoto waliohudumiwa wakati wa uzinduzi wa Mpango wa Usajili wa Watoto wa Umri Chini ya Miaka Mitano Mkoani Kigoma, 03 Oktoba, 2023.
Katibu Mkuu Msaidizi wa Jumuiya ya Madola na Kiongozi wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola Prof. Luis Gabriel Franceschi (kushoto) akiongea kwenye mkutano wakati Sekretarieti hiyo ilipokutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu. 02 Oktoba, 2023 Ofisi za Wizara Mtumba.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu akimkabidhi Kiongozi wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola Prof. Luis Gabriel Franceschi mfuko rafiki kwa mazingira unaotumika kwenye Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Sheria ya Mama Samia. 02 Oktoba, 2023 Ofisi za Wizara Mtumba.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Khatibu Kazungu, Menejimenti ya Wizara kwenye picha ya pamoja na Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola baada ya kufanya mazungumzo, 02 Oktoba, 2023 Ofisi za Wizara Mtumba.
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongea alipokutana na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan. 27/09/2023 Jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan (kulia) alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana. 27/09/2023 Jijini Dar es Salaam.
Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana kwenye picha ya pamoja baada ya kufanya mazungumzo na Balozi wa Urusi nchini Mhe. Andrey Avetisyan. 27/09/2023 Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana akiongea na watumishi wa ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa wa Iringa tarehe 25 Septemba, 2023.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana kwenye picha ya pamoja watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Mashtaka Mkoa Iringa tarehe 25 Septemba 2023.