Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Katiba na Sheria

ZIARA YA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MKOANI SINGIDA

08 Jan, 2026 - 11 Jan, 2026
15:07:00 - 15:07:00
SINGIDA
sheria@gmail.com

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homeri anatarajia kufanya ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Singida, Ziara hiyo itajumuisha uendeshwaji wa Kiniki ya Msaada wa Kisheria, Kutembelea miradi mbalimbali ya Taasisi zilizo chini ya Wizara pamoja na kutembelea maeneo ya vizuizi yaliyoko mkoani humo.

ZIARA YA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA MKOANI SINGIDA