• Maswali/
  • Mrejesho
  • English

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Katiba na Sheria

(MoCLA)

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Dira na Dhamira
    • Historia ya Wizara
    • Menejimenti
    • Majukumu Yetu
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Utawala
    • Muundo wa Wizara
    • Idara na Vitengo
      • Kitengo cha Uhasibu na Fedha
      • Kitengo cha Tehama
      • Idara ya Utawala na Rasilimali Watu
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Idara ya Sera na Mipango
      • Idara ya Huduma ya Kisheria kwa Umma
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Idara ya Katiba na Ufuatiliaji Haki
      • Kitengo cha Ununuzi na Ugavi
      • Divisheni ya Haki za Binadamu
      • Natural Wealth and Resources Observatory Unit
  • Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio
    • Matangazo
  • Machapisho
    • Katiba
    • Tafiti
    • Miongozo
    • Taarifa Mbalimbali
    • Sera
    • Sheria Mbalimbali
      • Katiba na Haki za Binadamu
      • Sheria za Jinai
      • Sheria za Madai
      • Sheria za Ardhi
      • Sheria za Mazingira
      • Sheria za Mirathi
      • Sheria za Utawala
      • Sheria za Biashara
      • Sheria za Rasilimali za Nchi na Madini
      • Sheria za Masaidiano na Mataifa Mengine
      • Sheria za Kimataifa
      • Sheria za Mabaraza na Usuluhishi
      • Sheria za Marekebisho ya Sheria Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
  • Ununuzi
    • Taarifa ya Matarajio ya Ununuzi
    • Machapisho ya Tuzo za Zabuni
    • Mpango wa Mwaka wa Unununzi
    • Tangazo la Zabuni
  • Huduma za Tehama
    • MoCLA MIS
    • Mfumo wa Usimamizi wa Sheria
    • Kanzi Data ya Malalamiko
    • Kanzi Data ya Wanasheria Serikalini
    • Msaada wa Kisheria
  • Msaada wa Kisheria
  • Malalamiko
  • Blog

​WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI ACHENI KUPOKEA RUSHWA – MHE. NGUVIRA

Imewekwa: Sunday 15, November 2020

WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI ACHENI KUPOKEA RUSHWA – MHE. NGUVIRA

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mkoani Tanga Mhe. Toba Nguvira awaasa wajumbe wa mabaraza ya ardhi wilayani humo kuacha tabia ya kupokea rushwa na kunyima haki wananchi.

Mhe. Nguvira aliyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya utawala bora, Wosia na Mirathi kwa watendaji kata na wenyeviti wa mabaraza ya ardhi wilayani humu ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Msaada wa Kisheria ambayo kitaifa yalizinduliwa tarehe 12 Mkoani Tanga.

Mkuu wa wilaya huyo aliwaambia watendaji kata na wenyeviti wa mabaraza ya kata hao wayatumie mafunzo hayo vizuri ili kumaliza migogoro mingi iliyopo ambayo inaanzia kwenye kata na inasababishwa na rushwa na hivyo kunyima haki baadhi ya wananchi.

“Migogoro ya ardhi na mirathi ni mingi sana nchini na inasababishwa na rushwa” alisema Mkuu wa wilaya huyo.

Aidha Mhe. Nguvira alisema sheria zimewekwa kuhakikisha haki inatendeke kwani kukosekana kwa haki kunapelekea machafuko katika jamii.

Mhe. Nguvira aliwasisitiza wajumbe wa mafunzo hayo kuyatendea haki kwa kuyatumia mafunzo watakayopata kuyatafsiri katika mabaraza ya kata.

Aimshukuru Mkuu wa Wilaya kwa nasaha zake kabla ya kuanza kw mafunzo mwezeshaji wa mafunzo hayo amabye pia ni Naibu Katibu kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Calist Luanda alisema amepewa jukumu la kiutoa mafunzo kwa wajumbe hao hivyo awasisitiza wajumbe kuyafanyia kazi mafunzo watakayopewa ili waweze kuboresha kazi zao na kutoia haki kwa wananchi.

Matangazo

  • Fomu za Usajili Mikataba ya Utajiri na Maliasilia za Nchi

    Fomu ya maombi ya kujiandikisha kama mtoa huduma ya kisheria

    Taarifa kwa Umma kuhusu Usajili wa Watoa Huduma za Msaada wa Kisheria

    Matangazo Zaidi

Habari Mpya

  • ​DED KILINDI AWATAKA WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI KUTENDA HAKI

    ​DED KILINDI AWATAKA WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI KUTENDA HAKI

    Nov 17, 2020
  • MKUU WA MKOA WA TANGA ATAKA TAASISI ZA UTOAJI HAKI ZIBORESHWE ILI ZIWEZE KUTOA HAKI KWA WAKATI

    MKUU WA MKOA WA TANGA ATAKA TAASISI ZA UTOAJI HAKI ZIBORESHWE ILI ZIWEZE KUTOA HAKI KWA WAKATI

    Nov 16, 2020
  • ​WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI ACHENI KUPOKEA RUSHWA – MHE. NGUVIRA

    ​WAJUMBE WA MABARAZA YA ARDHI ACHENI KUPOKEA RUSHWA – MHE. NGUVIRA

    Nov 15, 2020
  • ​WATANZANIA TUWE NA UTAMADUNI WA KUANDIKA WOSIA KUEPUKA CHANGAMOTO ZA MIRATHI- JAJI MRUMA

    ​WATANZANIA TUWE NA UTAMADUNI WA KUANDIKA WOSIA KUEPUKA CHANGAMOTO ZA MIRATHI- JAJI MRUMA

    Nov 15, 2020
  • Soma Habari zaidi
  • Video
  • Albamu
  • 5 Pics
  • 2 Pics

Wasiliana Nasi

Wizara ya Katiba na Sheria

Mji wa Serikali,Mtumba

S.L.P. 315,

DODOMA.

Masijala: barua@sheria.go.tz

Simu: +255 26 2310021

Nukushi: 255 26 2321679
Barua pepe: km@sheria.go.tz

  • Sera Ya Faragha
  • Angalizo
  • Ramani Ya Tovuti
  • Maswali
  • Barua Pepe

© 2021 Wizara ya Katiba na Sheria. Haki zote zimehifadhiwa..
Imesanifiwa, Imetengenezwa, na Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA) na Inaendeshwa na Wizara ya Katiba na Sheria